HABARI ZA JAMII

UFUGAJI WA NYUKI WATAJWA KUWA NGUZO YA CHAKULA NA MAZINGIRA

NA FAUZIA MUSSAWAKATI dunia ikiendelea kuadhimisha siku ya nyuki Duniani, jamii imetakiwa kuongeza juhudi za kuwahifadhi nyuki kutokana na mchango wao mkubwa katika uzalishaji wa chakula, uhifadhi wa mazingira pamoja na maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi. Wito huo umetolewa na wanachama wa Kikundi cha Ustawi wa Jamii Chuini kinachojishughulisha na ufugaji wa nyuki, walipozungumza na…

ZRA YAAHIDI KUSAIDIA UTATUZI CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA

Na. Muandishi Wetu. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imesema imeahidi kushirikiana na Serikali na wadau wengine katika kutatua changamoto zinazowakabili wafanyabiashara ili kuleta ustawi wa biashara na ulipaji Kodi Nchini. Hayo yamesemwa leo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar ndugu Said Kiondo Athumani kwa wakati tofauti alipofanya ziara ya kuwatembelea Walipakodi Wakubwa nchini….

WASIOTOA RISITI KUONJA “JOTO YA JIWE”

Na. Muandishi wetu Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imesema itawachukulia hatua za kisheria wafanyabiashara wasiotumia ipasavyo mfumo wa kutolea Risiti za Kielektroniki wakati wa mauzo. Kauli hiyo imetolewa leo Kamishna Mkuu wa ZRA ndugu Said Athumani Kiondo baada ya kufanya ziara ya kukagua uwajibikaji wa Walipakodi ikiwemo matumizi sahihi ya mashine za kutolea Risiti za…