HABARI ZA JAMII

TAMWA ZNZ YAWAFIKIA WATU 2,791 KUWAPA ELIMU YA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WASICHANA

Na Abdul Sakaza Jumla ya watu 2,791 kutoka Unguja na Pemba wamefikiwa na elimu ya uhamasishaji wa jamii kuhusu kupinga vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na wasichana kupitia shughuli mbalimbali za uelimishaji zilizotekelezwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Zanzibar (TAMWA Zanzibar). Taarifa hiyo ilitolewa jana katika ukumbi wa mikutano wa TAMWA Zanzibar…

LAZIMA SERIKALI IONGEZE USHIRIKISHWAJI WENYE TIJA KWA VIJANA ZANZIBAR

Na Abdul Sakaza, Unguja Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imetakiwa kuweka mazingira bora yatakayowawezesha vijana kushiriki kikamilifu katika masuala ya demokrasia, utawala bora na uongozi ili waweze kuchangia maendeleo ya taifa. Wito huo umetolewa na Msimamizi wa Programu kutoka Pamoja Youth Initiative, Daudi Kasim, wakati wa kongamano la vijana na wadau mbalimbali lililofanyika katika ukumbi wa…