ZANZIBAR NA TULIVE PRIVATE EQUITY LIMITED YA NAMIBIA ZIMETILIANA SAINI HATI YA MASHIRIKIANO (MOU) BIASHARA YA KABONI
NA FAUZIA MUSSAOFISI ya Makamu wa Kwanza wa Rais na kampuni ya Tulive Private Equity Limited ya Namibia zimetiliana saini hati ya mashirikiano (MoU) katika kuanzisha utaratibu wa kusimamia biashara ya kaboni kwa sekta za usafiri wa anga na bahari katika Mamlaka ya Zanzibar. Akizungumza katika hafla hiyo, iliofanyika Migombani Mjini unguja, Katibu Mkuu Ofisi…

Stop wasting your budget on expensive ads and complex tech b …